31Basi Wafilisti walikuwa wakipigana na Israeli,+ na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, nao wakaendelea kuanguka, wakiwa wameuawa+ katika Mlima Gilboa.+
10Nao Wafilisti+ wakawapiga Israeli; na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, wakaendelea kuanguka wakiwa wameuawa katika Mlima Gilboa.+