1 Samweli 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mkifanya yaliyo mabaya bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu+ mtafagiliwa mbali.”+ 1 Mambo ya Nyakati 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao Wafilisti+ wakawapiga Israeli; na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, wakaendelea kuanguka wakiwa wameuawa katika Mlima Gilboa.+
10 Nao Wafilisti+ wakawapiga Israeli; na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, wakaendelea kuanguka wakiwa wameuawa katika Mlima Gilboa.+