Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 28
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 28:1

Marejeo

  • +Amu 3:2; 1Sa 14:52
  • +1Sa 27:12; 29:3

1 Samweli 28:2

Marejeo

  • +1Sa 29:2

1 Samweli 28:3

Marejeo

  • +1Sa 25:1; Isa 57:1
  • +Kut 22:18; Law 19:31; 20:6, 27; Kum 18:11; Ufu 21:8

1 Samweli 28:4

Marejeo

  • +Yos 19:18; 1Fa 1:3; 2Fa 4:8; Wim 6:13
  • +1Sa 31:1; 2Sa 1:21; 21:12

1 Samweli 28:5

Marejeo

  • +Kum 28:20; 1Sa 28:20; Met 10:24; Isa 57:21

1 Samweli 28:6

Marejeo

  • +1Sa 14:37; 1Nya 10:14
  • +Met 1:28; 28:9; Isa 1:15; Eze 20:3; Mik 3:4
  • +Hes 12:6; Mt 1:20
  • +Kut 28:30; Hes 27:21; Kum 33:8
  • +Zb 74:9; Omb 2:9

1 Samweli 28:7

Marejeo

  • +Kut 22:18; Law 19:31; 20:6; 1Sa 15:23; 28:3; Isa 8:19; Ebr 3:12
  • +Yos 17:11; Zb 83:10

1 Samweli 28:8

Marejeo

  • +1Fa 14:2; 22:30
  • +1Sa 28:25
  • +Kum 18:10; 1Nya 10:13; Isa 8:19

1 Samweli 28:9

Marejeo

  • +1Sa 28:3
  • +Kut 22:18; Law 20:27

1 Samweli 28:10

Marejeo

  • +1Sa 14:39; Isa 48:1; Yer 44:26

1 Samweli 28:11

Marejeo

  • +Ro 1:28

1 Samweli 28:12

Marejeo

  • +1Sa 28:3; Zb 146:4; Mhu 9:5; 2Ko 4:4; 11:14

1 Samweli 28:13

Marejeo

  • +Zb 82:6; Yoh 10:34

1 Samweli 28:14

Marejeo

  • +1Sa 15:27
  • +2Th 2:10, 11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    1/1/2010, uku. 20

    1/15/1988, uku. 3

    Kutoa Sababu, kur. 140-141

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 1/1 20; rs 140-141

1 Samweli 28:15

Marejeo

  • +2Sa 12:23; Zb 115:17; 146:4; Mhu 9:5, 10
  • +Met 14:14; Yer 2:17; Gal 6:7
  • +1Sa 15:23
  • +1Sa 28:6
  • +Law 19:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kuishi Milele, kur. 91-92

1 Samweli 28:16

Marejeo

  • +1Sa 15:23; 16:14; 2Fa 6:27
  • +Kum 28:15

1 Samweli 28:17

Marejeo

  • +1Sa 13:14; 15:28
  • +1Sa 16:13; 24:20

1 Samweli 28:18

Marejeo

  • +1Sa 13:11; 1Nya 10:13
  • +1Sa 15:9; Yer 48:10

1 Samweli 28:19

Marejeo

  • +1Sa 12:25; 28:1; 31:1
  • +1Sa 31:5
  • +1Sa 31:2; 2Sa 2:8
  • +1Sa 31:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1988, uku. 3

1 Samweli 28:21

Marejeo

  • +Law 20:27; Amu 12:3; 1Sa 19:5; Ayu 13:14

1 Samweli 28:24

Marejeo

  • +Mwa 18:7; Lu 15:23
  • +Kum 12:15

1 Samweli 28:25

Marejeo

  • +1Sa 28:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 28:1Amu 3:2; 1Sa 14:52
1 Sam. 28:11Sa 27:12; 29:3
1 Sam. 28:21Sa 29:2
1 Sam. 28:31Sa 25:1; Isa 57:1
1 Sam. 28:3Kut 22:18; Law 19:31; 20:6, 27; Kum 18:11; Ufu 21:8
1 Sam. 28:4Yos 19:18; 1Fa 1:3; 2Fa 4:8; Wim 6:13
1 Sam. 28:41Sa 31:1; 2Sa 1:21; 21:12
1 Sam. 28:5Kum 28:20; 1Sa 28:20; Met 10:24; Isa 57:21
1 Sam. 28:61Sa 14:37; 1Nya 10:14
1 Sam. 28:6Met 1:28; 28:9; Isa 1:15; Eze 20:3; Mik 3:4
1 Sam. 28:6Hes 12:6; Mt 1:20
1 Sam. 28:6Kut 28:30; Hes 27:21; Kum 33:8
1 Sam. 28:6Zb 74:9; Omb 2:9
1 Sam. 28:7Kut 22:18; Law 19:31; 20:6; 1Sa 15:23; 28:3; Isa 8:19; Ebr 3:12
1 Sam. 28:7Yos 17:11; Zb 83:10
1 Sam. 28:81Fa 14:2; 22:30
1 Sam. 28:81Sa 28:25
1 Sam. 28:8Kum 18:10; 1Nya 10:13; Isa 8:19
1 Sam. 28:91Sa 28:3
1 Sam. 28:9Kut 22:18; Law 20:27
1 Sam. 28:101Sa 14:39; Isa 48:1; Yer 44:26
1 Sam. 28:11Ro 1:28
1 Sam. 28:121Sa 28:3; Zb 146:4; Mhu 9:5; 2Ko 4:4; 11:14
1 Sam. 28:13Zb 82:6; Yoh 10:34
1 Sam. 28:141Sa 15:27
1 Sam. 28:142Th 2:10, 11
1 Sam. 28:152Sa 12:23; Zb 115:17; 146:4; Mhu 9:5, 10
1 Sam. 28:15Met 14:14; Yer 2:17; Gal 6:7
1 Sam. 28:151Sa 15:23
1 Sam. 28:151Sa 28:6
1 Sam. 28:15Law 19:31
1 Sam. 28:161Sa 15:23; 16:14; 2Fa 6:27
1 Sam. 28:16Kum 28:15
1 Sam. 28:171Sa 13:14; 15:28
1 Sam. 28:171Sa 16:13; 24:20
1 Sam. 28:181Sa 13:11; 1Nya 10:13
1 Sam. 28:181Sa 15:9; Yer 48:10
1 Sam. 28:191Sa 12:25; 28:1; 31:1
1 Sam. 28:191Sa 31:5
1 Sam. 28:191Sa 31:2; 2Sa 2:8
1 Sam. 28:191Sa 31:7
1 Sam. 28:21Law 20:27; Amu 12:3; 1Sa 19:5; Ayu 13:14
1 Sam. 28:24Mwa 18:7; Lu 15:23
1 Sam. 28:24Kum 12:15
1 Sam. 28:251Sa 28:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 28:1-25

1 Samweli

28 Na ikawa katika siku hizo kwamba Wafilisti wakaanza kukusanya kambi zao kwa ajili ya jeshi ili kufanya vita juu ya Israeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba unapaswa kwenda pamoja nami kambini, wewe na watu wako.”+ 2 Kwa hiyo Daudi akamwambia Akishi: “Ndiyo sababu wewe mwenyewe unajua lile ambalo mtumishi wako anapaswa kufanya.” Basi Akishi akamwambia Daudi: “Ndiyo sababu nitakuweka kuwa mlinzi wa kichwa changu sikuzote.”+

3 Basi Samweli alikuwa amekufa, na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, wakamzika katika Rama jiji lake.+ Naye Sauli alikuwa amewaondolea mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+

4 Na Wafilisti wakakusanyika, wakaja na kupiga kambi katika Shunemu.+ Kwa hiyo Sauli akakusanya pamoja Israeli wote nao wakapiga kambi katika Gilboa.+ 5 Sauli alipoona kambi ya Wafilisti, akaogopa, na moyo wake ukaanza kutetemeka sana.+ 6 Ingawa Sauli alikuwa akimuuliza Yehova,+ lakini Yehova hakumjibu kamwe,+ ama kwa ndoto+ ama kwa Urimu+ ama kwa manabii.+ 7 Mwishowe Sauli akawaambia watumishi wake: “Nitafutieni mwanamke ambaye ni stadi wa kuwasiliana na pepo,+ nami nitaenda kwake nitafute shauri kutoka kwake.” Ndipo watumishi wake wakamwambia: “Tazama! Kuna mwanamke katika En-dori ambaye ni stadi wa kuwasiliana na pepo.”+

8 Kwa hiyo Sauli akajibadili sura+ na kuvaa mavazi mengine, akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye; nao wakafika kwa yule mwanamke usiku.+ Sasa akasema: “Tafadhali, nifanyie uaguzi+ kwa kuwasiliana na pepo, unipandishie yule nitakayemtaja kwako.” 9 Hata hivyo, yule mwanamke akamwambia: “Tazama, wewe mwenyewe unajua vema yale ambayo Sauli alifanya, jinsi alivyowakatilia mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+ Kwa nini, basi, unatenda kama mtu anayeitegea nafsi yangu mtego ili ufanye niuawe?”+ 10 Mara moja Sauli akamwapia kwa Yehova, akisema: “Kama Yehova anavyoishi,+ hutapata hatia ya kosa katika jambo hili!” 11 Ndipo yule mwanamke akasema: “Nikupandishie nani?” Naye akasema: “Nipandishie Samweli.”+ 12 Wakati yule mwanamke alipomwona “Samweli,”+ akaanza kupiga kelele kwa sauti yake yote; na mwanamke huyo akamwambia Sauli: “Kwa nini umenidanganya, kwa kuwa wewe mwenyewe ndiye Sauli?” 13 Lakini mfalme akamwambia: “Usiogope, lakini uliona nini?” Mwanamke huyo akaendelea kumwambia Sauli: “Niliona mungu+ akipanda juu kutoka katika dunia.” 14 Mara moja akamuuliza huyo mwanamke: “Ana umbo gani?” naye akasema: “Ni mwanamume mzee anayepanda juu, naye amevaa koti lisilo na mikono.”+ Ndipo Sauli akatambua kwamba huyo alikuwa ni “Samweli,”+ naye akainama kifudifudi, akasujudu.

15 Naye “Samweli” akaanza kumwambia Sauli: “Kwa nini umenisumbua kwa kufanya nipandishwe?”+ Na Sauli akasema: “Niko katika dhiki kali sana,+ kwa kuwa Wafilisti wanapigana nami, na Mungu ameniacha+ wala hakunipa jibu tena, ama kwa manabii ama kwa ndoto;+ ndiyo sababu ninakuita unijulishe jambo nitakalofanya.”+

16 Na “Samweli” akaendelea kusema: “Kwa nini, basi, unaniuliza mimi, wakati ambapo Yehova mwenyewe amekuacha+ na kwamba yeye ni adui yako?+ 17 Na Yehova atajifanyia kama vile alivyosema kupitia mimi, na Yehova ataurarua ufalme kutoka mkononi mwako,+ na kumpa mwenzako Daudi.+ 18 Kwa vile hukusikiliza sauti ya Yehova,+ nawe hukutekeleza hasira yake inayowaka juu ya Amaleki,+ ndiyo sababu hakika Yehova atakutendea jambo hili leo. 19 Na Yehova atatia Israeli pia pamoja na wewe mkononi mwa Wafilisti,+ na kesho+ wewe na wana wako+ mtakuwa pamoja nami. Hata kambi ya Israeli, Yehova ataitia mkononi mwa Wafilisti.”+

20 Ndipo Sauli akaanguka chini upesi akiwa amejilaza chini mwili mzima, akaogopa sana kwa sababu ya maneno ya “Samweli.” Pia, kukawa hakuna nguvu zozote ndani yake, kwa sababu alikuwa hajala chakula mchana mzima na usiku mzima. 21 Sasa yule mwanamke akamjia Sauli, akaona kwamba alikuwa na wasiwasi sana. Kwa hiyo akamwambia: “Tazama, mjakazi wako ameitii sauti yako, nami nikaitia nafsi yangu mkononi mwangu+ na kuyatii maneno uliyoniambia. 22 Na sasa, tafadhali, wewe pia uitii sauti ya mjakazi wako; na acha niweke mbele yako kipande cha mkate, nawe ule, ili upate nguvu, kwa sababu utaenda zako.” 23 Lakini akakataa na kusema: “Sitakula.” Hata hivyo, watumishi wake na pia yule mwanamke wakazidi kumsihi. Mwishowe akaitii sauti yao, akainuka kutoka chini na kuketi juu ya kiti. 24 Basi yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenoneshwa+ nyumbani. Kwa hiyo akamchinja haraka,+ akachukua unga, akaukanda na kuoka keki zisizo na chachu. 25 Kisha akampakulia Sauli na watumishi wake, nao wakala. Ndipo wakaondoka, wakaenda zao usiku huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki