28Na ikawa katika siku hizo kwamba Wafilisti wakaanza kukusanya kambi zao kwa ajili ya jeshi ili kufanya vita juu ya Israeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba unapaswa kwenda pamoja nami kambini, wewe na watu wako.”+
31Basi Wafilisti walikuwa wakipigana na Israeli,+ na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, nao wakaendelea kuanguka, wakiwa wameuawa+ katika Mlima Gilboa.+