Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini mkifanya yaliyo mabaya bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu+ mtafagiliwa mbali.”+

  • 1 Samweli 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na ikawa katika siku hizo kwamba Wafilisti wakaanza kukusanya kambi zao kwa ajili ya jeshi ili kufanya vita juu ya Israeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba unapaswa kwenda pamoja nami kambini, wewe na watu wako.”+

  • 1 Samweli 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi Wafilisti walikuwa wakipigana na Israeli,+ na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, nao wakaendelea kuanguka, wakiwa wameuawa+ katika Mlima Gilboa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki