Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa maana, kama anavyoishi Yehova, ambaye ni Mkombozi wa Israeli, hata kama iko katika Yonathani mwanangu, yeye atakufa hakika.”+ Lakini hakuna yeyote aliyemjibu kati ya watu wote.

  • Isaya 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Sikieni hili, enyi nyumba ya Yakobo, ninyi mnaojiita wenyewe kwa jina la Israeli+ na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,+ ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+ na mnaomtaja Mungu wa Israeli,+ si katika kweli na si katika uadilifu.+

  • Yeremia 44:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Kwa hiyo sikieni neno la Yehova, Yuda wote mnaokaa katika nchi ya Misri,+ ‘ “Tazama, mimi mwenyewe nimeapa kwa jina langu kuu,”+ Yehova amesema, “kwamba jina langu halitakuwa tena kitu cha kuitwa kwa kinywa cha mtu yeyote wa Yuda,+ akisema, ‘Kama anavyoishi Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!’+ katika nchi yote ya Misri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki