34 Mpaka leo hii wanafanya kulingana na dini zao za kwanza.+ Hapakuwa na yeyote aliyemwogopa Yehova+ wala yeyote aliyefanya kulingana na masharti yake na maamuzi yake ya hukumu+ na sheria+ na amri+ ambazo Yehova aliwaamuru wana wa Yakobo,+ ambaye jina lake alilifanya kuwa Israeli;+