Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.”

  • Mwanzo 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Hutaendelea kuitwa Yakobo, bali utaitwa Israeli.” Naye akaanza kumwita Israeli.+

  • 2 Wafalme 17:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mpaka leo hii wanafanya kulingana na dini zao za kwanza.+ Hapakuwa na yeyote aliyemwogopa Yehova+ wala yeyote aliyefanya kulingana na masharti yake na maamuzi yake ya hukumu+ na sheria+ na amri+ ambazo Yehova aliwaamuru wana wa Yakobo,+ ambaye jina lake alilifanya kuwa Israeli;+

  • Waroma 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hata hivyo, si kwamba neno la Mungu lilikuwa limeshindwa.+ Kwa maana si wote wanaotokana na Israeli ni “Israeli” kikweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki