Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na baadaye ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa unashikilia kisigino cha Esau;+ kwa hiyo akaitwa jina lake Yakobo.+ Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 wakati Rebeka alipowazaa.

  • Mwanzo 27:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Akajibu, akasema: “Je, hiyo siyo sababu jina lake ni Yakobo, hivi kwamba anyakue mahali pangu mara mbili hizi?+ Haki yangu ya kuzaliwa tayari amechukua,+ na tazama wakati huu amechukua baraka yangu!”+ Kisha akaongeza: “Je, hukuniachia baraka yoyote?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki