Mwanzo 25:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na baadaye ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa unashikilia kisigino cha Esau;+ kwa hiyo akaitwa jina lake Yakobo.+ Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 wakati Rebeka alipowazaa. Mwanzo 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.” Hosea 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alimkamata ndugu yake kwenye kisigino ndani ya tumbo,+ na kwa nguvu zake zenye msukumo alishindana na Mungu.+
26 Na baadaye ndugu yake akatoka na mkono wake ulikuwa unashikilia kisigino cha Esau;+ kwa hiyo akaitwa jina lake Yakobo.+ Na Isaka alikuwa na umri wa miaka 60 wakati Rebeka alipowazaa.
28 Kisha akasema: “Hutaitwa tena Yakobo bali Israeli,+ kwa maana wewe umeshindana+ na Mungu na wanadamu hata ukashinda mwishowe.”
3 Alimkamata ndugu yake kwenye kisigino ndani ya tumbo,+ na kwa nguvu zake zenye msukumo alishindana na Mungu.+