Mwanzo 25:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye Yakobo akampa Esau mkate na mchuzi wa dengu, naye akala na kunywa.+ Kisha akaondoka akaenda zake. Kwa hiyo Esau aliidharau haki ya kuzaliwa.+ Mathayo 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+ Waebrania 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+
34 Naye Yakobo akampa Esau mkate na mchuzi wa dengu, naye akala na kunywa.+ Kisha akaondoka akaenda zake. Kwa hiyo Esau aliidharau haki ya kuzaliwa.+
33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+
16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+