11 kiapo+ kwa jina la Yehova kinapaswa kifanywe kati yao wawili ya kwamba yeye hakutia mkono wake juu ya mali za mwenzake;+ na mwenyewe lazima akubali, na yule mwingine hatalipa.
16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+