Kutoka 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 yule aliyepewa mali hiyo ataapa mbele za Yehova kwamba hakuchukua mali ya jirani yake; na mwenye mali anapaswa kukubali jambo hilo. Mtu huyo hatalipa chochote.+
11 yule aliyepewa mali hiyo ataapa mbele za Yehova kwamba hakuchukua mali ya jirani yake; na mwenye mali anapaswa kukubali jambo hilo. Mtu huyo hatalipa chochote.+