Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma: “Nainua mkono wangu katika kiapo+ kwa Yehova Mungu Aliye Juu Zaidi, Mtokezaji wa mbingu na dunia,

  • Kumbukumbu la Torati 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako.+ Unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kushikamana naye,+ na kwa jina lake unapaswa kutoa ahadi zenye kiapo.+

  • Waamuzi 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tutafanya nini kwa wale waliobaki kuhusiana na wake, kwa kuwa sisi wenyewe tumeapa+ kwa Yehova kwamba hatutawapa yeyote wa binti zetu ili wawe wake zao?”+

  • Isaya 65:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ili kwamba yeyote anayejibariki duniani atajibariki kwa Mungu wa imani,+ na yeyote anayetoa ahadi yenye kiapo duniani ataapa kwa Mungu wa imani;+ kwa sababu taabu za zamani kwa kweli zitasahauliwa na kwa sababu kwa kweli zitafichwa kutoka machoni pangu.+

  • Yeremia 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki