20 “Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako.+ Unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kushikamana naye,+ na kwa jina lake unapaswa kutoa ahadi zenye kiapo.+
7 Tutafanya nini kwa wale waliobaki kuhusiana na wake, kwa kuwa sisi wenyewe tumeapa+ kwa Yehova kwamba hatutawapa yeyote wa binti zetu ili wawe wake zao?”+
16 ili kwamba yeyote anayejibariki duniani atajibariki kwa Mungu wa imani,+ na yeyote anayetoa ahadi yenye kiapo duniani ataapa kwa Mungu wa imani;+ kwa sababu taabu za zamani kwa kweli zitasahauliwa na kwa sababu kwa kweli zitafichwa kutoka machoni pangu.+
2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+