Mwanzo 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na kupitia kwa uzao wako+ mataifa yote ya dunia hakika yatajibariki kwa sababu wewe umeisikiliza sauti yangu.’”+ Zaburi 72:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jina lake na liweko mpaka wakati usio na kipimo;+Jina lake na liongezeke mbele ya jua,Na kupitia yeye na wajibariki;+Mataifa yote na yamtangaze kuwa mwenye furaha.+ Yeremia 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+
18 Na kupitia kwa uzao wako+ mataifa yote ya dunia hakika yatajibariki kwa sababu wewe umeisikiliza sauti yangu.’”+
17 Jina lake na liweko mpaka wakati usio na kipimo;+Jina lake na liongezeke mbele ya jua,Na kupitia yeye na wajibariki;+Mataifa yote na yamtangaze kuwa mwenye furaha.+
2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+