Zaburi 45:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitalitaja jina lako katika vizazi vyote vitakavyokuja.+Ndiyo sababu vikundi vya watu vitakusifu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele. Zaburi 89:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+
17 Nitalitaja jina lako katika vizazi vyote vitakavyokuja.+Ndiyo sababu vikundi vya watu vitakusifu mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.
36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+