15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+
16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu+ na kwa uzao wake.+ Haisemi: “Na kwa wazao,” kana kwamba ni wengi wa namna hiyo, bali kana kwamba ni mmoja:+ “Na kwa uzao wako,”+ ambaye ni Kristo.+