Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova Mungu wa mbingu, aliyenichukua kutoka katika nyumba ya baba yangu na kutoka katika nchi ya watu wa jamaa yangu+ na ambaye alisema nami na ambaye aliniapia,+ akisema, ‘Nitaupa uzao wako+ nchi hii,’+ atatuma malaika wake mbele yako,+ nawe utachukua mke huko kwa ajili ya mwanangu.+

  • Isaya 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na bado ndani yake patakuwa na sehemu ya kumi,+ nayo itakuwa tena kitu cha kuteketezwa, kama mti mkubwa na kama mti mnene sana ambapo, inapokatwa,+ kuna kisiki;+ uzao mtakatifu utakuwa kisiki chake.”+

  • Wagalatia 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki