7 Yehova Mungu wa mbingu, aliyenichukua kutoka katika nyumba ya baba yangu na kutoka katika nchi ya watu wa jamaa yangu+ na ambaye alisema nami na ambaye aliniapia,+ akisema, ‘Nitaupa uzao wako+ nchi hii,’+ atatuma malaika wake mbele yako,+ nawe utachukua mke huko kwa ajili ya mwanangu.+