7 Yehova Mungu wa mbinguni, aliyenitoa katika nyumba ya baba yangu na kutoka katika nchi ya watu wangu wa ukoo+ na ambaye alizungumza nami na kuniapia:+ ‘Nitaupa uzao wako+ nchi hii,’+ atamtuma malaika wake mbele yako,+ nawe hakika utamchukulia mwanangu mke kutoka huko.+