Mika 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utamtendea Yakobo kwa uaminifu,Na Abrahamu kwa upendo mshikamanifu,Kama ulivyowaapia mababu zetu tangu siku za kale.+ Luka 1:72, 73 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 ili kuonyesha rehema kuhusiana na mababu zetu na kulikumbuka agano lake takatifu,+ 73 kama alivyomwapia Abrahamu babu yetu,+ Waebrania 6:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Mungu alipotoa ahadi yake kwa Abrahamu, kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa kwa jina lake mwenyewe,+ 14 akisema: “Hakika nitakubariki nami hakika nitaufanya uzao wako uwe mwingi.”+
20 Utamtendea Yakobo kwa uaminifu,Na Abrahamu kwa upendo mshikamanifu,Kama ulivyowaapia mababu zetu tangu siku za kale.+
72 ili kuonyesha rehema kuhusiana na mababu zetu na kulikumbuka agano lake takatifu,+ 73 kama alivyomwapia Abrahamu babu yetu,+
13 Kwa maana Mungu alipotoa ahadi yake kwa Abrahamu, kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa kwa jina lake mwenyewe,+ 14 akisema: “Hakika nitakubariki nami hakika nitaufanya uzao wako uwe mwingi.”+