Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 hakika nitakubariki, nami hakika nitaufanya uzao* wako uwe mwingi kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ na uzao* wako utamiliki lango la* maadui wake.+

  • Zaburi 105:8-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Anakumbuka agano lake milele,+

      Ahadi aliyotoa,* hata kufikia vizazi elfu,+

       9 Agano alilofanya na Abrahamu,+

      Na kiapo alichomwapia Isaka,+

      10 Alichotoa kama amri kwa Yakobo

      Na kama agano la kudumu kwa Israeli,

      11 Akisema, “Nitakupa nchi ya Kanaani+

      Kuwa urithi wako uliogawiwa.”+

  • Luka 1:72, 73
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 72 ili kuonyesha rehema kuhusiana na mababu zetu na kulikumbuka agano lake takatifu,+ 73 kama alivyomwapia Abrahamu babu yetu,+

  • Matendo 3:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ninyi ndio wana wa manabii na wa agano ambalo Mungu alifanya na mababu zenu,+ alipomwambia Abrahamu: ‘Kupitia uzao wako,* familia zote za dunia zitabarikiwa.’+ 26 Baada ya Mungu kumwinua Mtumishi wake, alimtuma kwenu kwanza+ ili awabariki ninyi kwa kumgeuza kila mmoja wenu aache matendo yake maovu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki