Nehemia 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nikasema: “Ee Yehova, Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha, unayeshika agano lako na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu wale wanaokupenda na kushika amri zako,+
5 Nikasema: “Ee Yehova, Mungu wa mbinguni, Mungu mkuu na mwenye kuogopesha, unayeshika agano lako na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu wale wanaokupenda na kushika amri zako,+