Zaburi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wakoNa miisho ya dunia kuwa miliki yako.+ Danieli 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme+ ambao hautaangamizwa kamwe.+ Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote.+ Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao pekee utasimama milele,+
44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme+ ambao hautaangamizwa kamwe.+ Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote.+ Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao pekee utasimama milele,+