7 Acheni nitangaze agizo la Yehova;
Aliniambia: “Wewe ni mwanangu;+
Leo nimekuwa baba yako.+
8 Niombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako
Na miisho ya dunia kuwa miliki yako.+
9 Utawavunja kwa fimbo ya mfalme ya chuma,+
Nawe utawavunjavunja kama chombo cha udongo.”+