Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:7-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Acheni nitangaze agizo la Yehova;

      Aliniambia: “Wewe ni mwanangu;+

      Leo nimekuwa baba yako.+

       8 Niombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako

      Na miisho ya dunia kuwa miliki yako.+

       9 Utawavunja kwa fimbo ya mfalme ya chuma,+

      Nawe utawavunjavunja kama chombo cha udongo.”+

  • Zaburi 110:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yehova atakuwa kwenye mkono wako wa kulia;+

      Atawaponda wafalme katika siku ya hasira yake.+

       6 Atatekeleza hukumu dhidi ya* mataifa;+

      Atajaza maiti nchini.+

      Atamponda kiongozi wa* nchi kubwa sana.*

  • Ufunuo 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kinywani mwake upanga mrefu mkali unachomoza,+ upanga ambao atatumia kuyapiga mataifa, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Isitoshe, anakanyaga shinikizo la divai ya hasira ya ghadhabu ya Mungu Mweza-Yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki