Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme+ ambao hautaangamizwa kamwe.+ Na ufalme huo hautakabidhiwa watu wengine wowote.+ Utazipondaponda na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao pekee utasimama milele,+

  • Ufunuo 2:26, 27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na yule atakayeshinda na kushika matendo yangu mpaka mwisho, nitampa mamlaka juu ya mataifa,+ 27 kama vile nilivyopokea kutoka kwa Baba yangu, naye atawachunga watu kwa fimbo ya chuma+ hivi kwamba watavunjwa vipandevipande kama vyombo vya udongo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki