5 Na yule mwanamke akazaa mwana,+ wa kiume, atakayechunga mataifa yote kwa fimbo ya chuma.+ Na mtoto wake akanyakuliwa* mpaka kwa Mungu na kwenye kiti chake cha ufalme.
15 Na kinywani mwake upanga mrefu mkali unachomoza,+ upanga ambao atatumia kuyapiga mataifa, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Isitoshe, anakanyaga shinikizo la divai ya hasira ya ghadhabu ya Mungu Mweza-Yote.+