Zaburi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utawavunja kwa fimbo ya mfalme ya chuma,+Nawe utawavunjavunja kama chombo cha udongo.”+ Zaburi 110:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova atainyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, akisema: “Nenda ukitiisha kati ya maadui wako.”+ Ufunuo 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na kinywani mwake upanga mrefu mkali unachomoza,+ upanga ambao atatumia kuyapiga mataifa, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Isitoshe, anakanyaga shinikizo la divai ya hasira ya ghadhabu ya Mungu Mweza-Yote.+
2 Yehova atainyoosha fimbo ya ufalme ya nguvu zako kutoka Sayuni, akisema: “Nenda ukitiisha kati ya maadui wako.”+
15 Na kinywani mwake upanga mrefu mkali unachomoza,+ upanga ambao atatumia kuyapiga mataifa, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Isitoshe, anakanyaga shinikizo la divai ya hasira ya ghadhabu ya Mungu Mweza-Yote.+