Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:15-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na malaika wa Yehova akamwita Abrahamu mara ya pili kutoka mbinguni, 16 akamwambia: “‘Naapa kwa nafsi yangu,’ asema Yehova,+ ‘kwamba kwa kuwa umetenda jambo hili nawe hujaninyima mwana wako, mwana wako wa pekee,+ 17 hakika nitakubariki, nami hakika nitaufanya uzao* wako uwe mwingi kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari,+ na uzao* wako utamiliki lango la* maadui wake.+ 18 Na kupitia uzao wako*+ mataifa yote ya dunia yatajipatia baraka kwa sababu umeisikiliza sauti yangu.’”+

  • Zaburi 105:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Anakumbuka agano lake milele,+

      Ahadi aliyotoa,* hata kufikia vizazi elfu,+

       9 Agano alilofanya na Abrahamu,+

      Na kiapo alichomwapia Isaka,+

  • Mika 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Utamtendea Yakobo kwa uaminifu,

      Na Abrahamu kwa upendo mshikamanifu,

      Kama ulivyowaapia mababu zetu tangu siku za kale.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki