16 “Kwa maana, Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee,+ ili kila mtu anayemwamini* asiangamizwe bali awe na uzima wa milele.+
32 Kwa kuwa hakusita kumtoa hata Mwana wake mwenyewe bali alimkabidhi kwa ajili yetu sote,+ je, hatatupatia pia pamoja naye kwa fadhili vitu vingine vyote?
17 Kwa imani, Abrahamu alipojaribiwa,+ ni kana kwamba alimtoa Isaka—mtu huyo aliyekuwa amezipokea ahadi kwa furaha alijaribu kumtoa mwana wake mzaliwa-pekee+—