Mwanzo 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na kupitia kwa uzao wako+ mataifa yote ya dunia hakika yatajibariki kwa sababu wewe umeisikiliza sauti yangu.’”+ Waroma 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa. Wagalatia 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu+ na kwa uzao wake.+ Haisemi: “Na kwa wazao,” kana kwamba ni wengi wa namna hiyo, bali kana kwamba ni mmoja:+ “Na kwa uzao wako,”+ ambaye ni Kristo.+ Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+
18 Na kupitia kwa uzao wako+ mataifa yote ya dunia hakika yatajibariki kwa sababu wewe umeisikiliza sauti yangu.’”+
5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.
16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu+ na kwa uzao wake.+ Haisemi: “Na kwa wazao,” kana kwamba ni wengi wa namna hiyo, bali kana kwamba ni mmoja:+ “Na kwa uzao wako,”+ ambaye ni Kristo.+
29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+