Mwanzo 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye Abrahamu alimpa Isaka kila kitu alichokuwa nacho,+ Waroma 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa Abrahamu,+ bali: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+ Waroma 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yaani, watoto kwa njia ya mwili+ si watoto wa Mungu kikweli,+ bali watoto kwa njia ya ahadi+ huhesabiwa kuwa ndio uzao.
7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa Abrahamu,+ bali: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+
8 Yaani, watoto kwa njia ya mwili+ si watoto wa Mungu kikweli,+ bali watoto kwa njia ya ahadi+ huhesabiwa kuwa ndio uzao.