Mwanzo 24:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Tena, Sara, mke wa bwana wangu alimzalia bwana wangu mwana baada ya kuzeeka;+ naye atampa kila kitu alicho nacho.+ Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+ Waebrania 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mwishoni mwa siku hizi+ amesema nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na ambaye kupitia yeye aliifanya+ mifumo ya mambo.
36 Tena, Sara, mke wa bwana wangu alimzalia bwana wangu mwana baada ya kuzeeka;+ naye atampa kila kitu alicho nacho.+
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
2 mwishoni mwa siku hizi+ amesema nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na ambaye kupitia yeye aliifanya+ mifumo ya mambo.