Zaburi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niombe,+ ili nikupe mataifa yawe urithi wako+Na miisho ya dunia iwe miliki yako mwenyewe.+ Yohana 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yote aliyo nayo Baba ni yangu.+ Ndiyo sababu nilisema yeye hupokea lililo langu na kulitangaza kwenu. Waroma 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+
15 Yote aliyo nayo Baba ni yangu.+ Ndiyo sababu nilisema yeye hupokea lililo langu na kulitangaza kwenu.
17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+