Zaburi 72:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye atakuwa na raia kutoka bahari mpaka bahari+Na kutoka ule Mto+ mpaka miisho ya dunia.+ Waebrania 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mwishoni mwa siku hizi+ amesema nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na ambaye kupitia yeye aliifanya+ mifumo ya mambo. Ufunuo 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+
2 mwishoni mwa siku hizi+ amesema nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na ambaye kupitia yeye aliifanya+ mifumo ya mambo.
15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+