Mathayo 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alipokuwa bado akisema, tazama! wingu jangavu liliwafunika, na, tazama! kulikuwa na sauti kutoka katika lile wingu, ikisema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa, ambaye nimemkubali;+ msikilizeni.”+ Yohana 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Mungu alimtuma Mwana wake ulimwenguni, si ili auhukumu+ ulimwengu, bali ili ulimwengu uokolewe+ kupitia kwake. Yohana 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi,+ ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo.+
5 Alipokuwa bado akisema, tazama! wingu jangavu liliwafunika, na, tazama! kulikuwa na sauti kutoka katika lile wingu, ikisema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa, ambaye nimemkubali;+ msikilizeni.”+
17 Kwa maana Mungu alimtuma Mwana wake ulimwenguni, si ili auhukumu+ ulimwengu, bali ili ulimwengu uokolewe+ kupitia kwake.
34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi,+ ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo.+