Yohana 12:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Lakini ikiwa yeyote anasikia maneno yangu na hayashiki, simhukumu; kwa maana nilikuja, si kuuhukumu ulimwengu,+ bali kuuokoa ulimwengu.+ 2 Wakorintho 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+
47 Lakini ikiwa yeyote anasikia maneno yangu na hayashiki, simhukumu; kwa maana nilikuja, si kuuhukumu ulimwengu,+ bali kuuokoa ulimwengu.+
19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+