Waroma 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa tungali bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.+ Waroma 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana ikiwa kutupwa kwao+ humaanisha upatanisho+ kwa ulimwengu, kupokewa kwao kutamaanisha nini isipokuwa uzima kutoka kwa wafu? 1 Yohana 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+
6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa tungali bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.+
15 Kwa maana ikiwa kutupwa kwao+ humaanisha upatanisho+ kwa ulimwengu, kupokewa kwao kutamaanisha nini isipokuwa uzima kutoka kwa wafu?
2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+