Waroma 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na si hilo tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye sasa tumepokea huo upatanisho.+ 2 Wakorintho 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+
11 Na si hilo tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia yeye sasa tumepokea huo upatanisho.+
19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+