Isaya 43:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+ Waroma 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yeye alitolewa kwa ajili ya makosa+ yetu na kufufuliwa kwa ajili ya kututangaza sisi kuwa waadilifu.+ Waroma 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo, basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhukumiwa hatia,+ vivyo hivyo pia kupitia tendo moja la kutetewa kuwa haki+ matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa waadilifu kwa ajili ya uzima.+
25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+
25 Yeye alitolewa kwa ajili ya makosa+ yetu na kufufuliwa kwa ajili ya kututangaza sisi kuwa waadilifu.+
18 Kwa hiyo, basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhukumiwa hatia,+ vivyo hivyo pia kupitia tendo moja la kutetewa kuwa haki+ matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa waadilifu kwa ajili ya uzima.+