Zaburi 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+ Zaburi 79:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+ Ezekieli 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikachukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa ambayo walikuwa katikati yao,+ kwa sababu nilikuwa nimejijulisha kwao mbele ya macho yao kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.+
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+
9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+
9 Nami nikachukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa ambayo walikuwa katikati yao,+ kwa sababu nilikuwa nimejijulisha kwao mbele ya macho yao kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.+