Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+

  • 1 Samweli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • Zaburi 65:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mambo yenye makosa yamekuwa na nguvu kuliko mimi.+

      Nayo makosa yetu, wewe mwenyewe utayafunika.+

  • Zaburi 78:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+

      Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+

      Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote.

  • Isaya 48:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nitaizuia hasira yangu kwa ajili ya jina langu,+ na kwa ajili ya sifa yangu nitajizuia kukuelekea ili usikatiliwe mbali.+

  • Yeremia 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata makosa yetu yakishuhudia juu yetu, Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako;+ kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi;+ sisi tumekutendea dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki