23 lakini mimi naona ndani ya viungo+ vyangu sheria nyingine ikipigana+ na sheria ya akili+ yangu na kunichukua mateka kwa sheria ya dhambi+ iliyo ndani ya viungo vyangu.
17 Kwa maana mwili katika tamaa yake unapingana na roho,+ na roho inapingana na mwili; kwa maana vitu hivyo vinapingana, hivi kwamba mambo yale ambayo mnapenda kufanya hamyafanyi.+