1 Samweli 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ Zaburi 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+Usamehe kosa langu, kwa maana ni kubwa.+ Zaburi 79:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+ Yeremia 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata makosa yetu yakishuhudia juu yetu, Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako;+ kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi;+ sisi tumekutendea dhambi.+
22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+
9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+
7 Hata makosa yetu yakishuhudia juu yetu, Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako;+ kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi;+ sisi tumekutendea dhambi.+