Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • Zaburi 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+

      Usamehe kosa langu, kwa maana ni kubwa.+

  • Zaburi 79:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya utukufu wa jina lako;+

      Na utukomboe na kufunika dhambi zetu kwa sababu ya jina lako.+

  • Yeremia 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata makosa yetu yakishuhudia juu yetu, Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako;+ kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi;+ sisi tumekutendea dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki