Yoshua 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+ Zaburi 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+Usamehe kosa langu, kwa maana ni kubwa.+ Zaburi 115:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+Bali jina lako ulitukuze+Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+
9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+
115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+Bali jina lako ulitukuze+Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+