58 “Ikiwa hutakuwa mwangalifu kutimiza maneno yote ya sheria hii ambayo yameandikwa katika kitabu+ hiki ili kuliogopa hili jina tukufu+ na lenye kuogopesha,+ naam,Yehova,+ Mungu wako,
11 Nitatenda kwa ajili yangu mwenyewe, kwa ajili yangu mwenyewe nitatenda,+ kwani mtu angewezaje kujiachilia mwenyewe atiwe unajisi?+ Nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe.+
13 Na watu wote wa nchi watalazimika kuzika, na hakika kwao hilo litakuwa jambo lenye sifa katika siku ambayo nitajitukuza mwenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.