Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 “Ikiwa hutakuwa mwangalifu kutimiza maneno yote ya sheria hii ambayo yameandikwa katika kitabu+ hiki ili kuliogopa hili jina tukufu+ na lenye kuogopesha,+ naam,Yehova,+ Mungu wako,

  • Isaya 48:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nitatenda kwa ajili yangu mwenyewe, kwa ajili yangu mwenyewe nitatenda,+ kwani mtu angewezaje kujiachilia mwenyewe atiwe unajisi?+ Nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe.+

  • Ezekieli 39:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na watu wote wa nchi watalazimika kuzika, na hakika kwao hilo litakuwa jambo lenye sifa katika siku ambayo nitajitukuza mwenyewe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • Yohana 12:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Baba, litukuze jina lako.” Kwa hiyo sauti+ ikaja kutoka mbinguni: “Nimelitukuza na pia nitalitukuza tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki