Ezekieli 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikachukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa ambayo walikuwa katikati yao,+ kwa sababu nilikuwa nimejijulisha kwao mbele ya macho yao kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.+ Waroma 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.
9 Nami nikachukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa ambayo walikuwa katikati yao,+ kwa sababu nilikuwa nimejijulisha kwao mbele ya macho yao kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.+
24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.