Zaburi 61:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+ Zaburi 66:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mungu na abarikiwe, ambaye hakuigeuzia mbali sala yangu,Wala fadhili zake zenye upendo mbali nami.+ Zaburi 89:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 89 Nitaimba juu ya maonyesho ya fadhili zenye upendo za Yehova mpaka wakati usio na kipimo.+Kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako kwa kizazi baada ya kizazi.+ Zaburi 138:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+ Mika 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utatoa ukweli aliopewa Yakobo, fadhili zenye upendo alizopewa Abrahamu, ambazo uliwaapia mababu zetu tangu siku za zamani za kale.+ Waroma 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+
7 Atakaa mpaka wakati usio na kipimo mbele za Mungu;+Uagize fadhili zenye upendo na ukweli, ili zipate kumlinda.+
20 Mungu na abarikiwe, ambaye hakuigeuzia mbali sala yangu,Wala fadhili zake zenye upendo mbali nami.+
89 Nitaimba juu ya maonyesho ya fadhili zenye upendo za Yehova mpaka wakati usio na kipimo.+Kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako kwa kizazi baada ya kizazi.+
2 Nitainama kuelekea hekalu lako takatifu,+Nami nitalisifu jina lako,+Kwa sababu ya fadhili zako zenye upendo+ na kwa sababu ya ukweli wako.+Kwa maana umeyatukuza maneno yako+ hata juu ya jina lako lote.+
20 Utatoa ukweli aliopewa Yakobo, fadhili zenye upendo alizopewa Abrahamu, ambazo uliwaapia mababu zetu tangu siku za zamani za kale.+
4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+