Zaburi 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tutamtolea Mungu sifa mchana kutwa,+Nasi tutalisifu jina lako mpaka wakati usio na kipimo.+ Sela. Zaburi 54:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitakutolea dhabihu kwa kupenda.+Nitalisifu jina lako, Ee Yehova, kwa maana ni jema.+ Zaburi 115:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+Bali jina lako ulitukuze+Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+ Yohana 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.
115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+Bali jina lako ulitukuze+Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+
6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.