Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 44:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Tutamtolea Mungu sifa mchana kutwa,+

      Nasi tutalisifu jina lako mpaka wakati usio na kipimo.+ Sela.

  • Zaburi 54:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitakutolea dhabihu kwa kupenda.+

      Nitalisifu jina lako, Ee Yehova, kwa maana ni jema.+

  • Zaburi 115:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+

      Bali jina lako ulitukuze+

      Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+

  • Yohana 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki