Zaburi 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitamsifu Yehova kulingana na uadilifu wake,+Nami nitalipigia muziki jina+ la Yehova Aliye Juu Zaidi.+ Zaburi 52:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nitakusifu mpaka wakati usio na kipimo, kwa maana wewe umechukua hatua;+Nami nitalitumainia jina lako, kwa sababu ni jema, mbele ya washikamanifu wako.+
17 Nitamsifu Yehova kulingana na uadilifu wake,+Nami nitalipigia muziki jina+ la Yehova Aliye Juu Zaidi.+
9 Nitakusifu mpaka wakati usio na kipimo, kwa maana wewe umechukua hatua;+Nami nitalitumainia jina lako, kwa sababu ni jema, mbele ya washikamanifu wako.+