Zaburi 35:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nao ulimi wangu mwenyewe na utamke uadilifu wako kwa sauti ya chini,+Sifa yako mchana kutwa.+ Zaburi 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+ Zaburi 71:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kinywa changu mwenyewe kitasimulia uadilifu wako,+Wokovu wako mchana kutwa,+Kwa maana sijapata kujua hesabu yake.+ Zaburi 98:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amefanya wokovu wake ujulikane;+Ameufunua uadilifu wake machoni pa mataifa.+ Zaburi 145:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watabubujikwa na maneno wakitaja wingi wa wema wako,+Na kwa sababu ya uadilifu wako watapiga vigelegele vya shangwe.+
14 Unikomboe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu upate kutangaza uadilifu wako kwa shangwe.+
15 Kinywa changu mwenyewe kitasimulia uadilifu wako,+Wokovu wako mchana kutwa,+Kwa maana sijapata kujua hesabu yake.+
7 Watabubujikwa na maneno wakitaja wingi wa wema wako,+Na kwa sababu ya uadilifu wako watapiga vigelegele vya shangwe.+