Zaburi 38:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ufanye haraka unisaidie,+Ee Yehova wokovu wangu.+ Zaburi 88:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 88 Ee Yehova, Mungu wa wokovu wangu,+Wakati wa mchana nimepaaza kilio,+Usiku pia, mbele zako.+ Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+ Ufunuo 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+
10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+