Zaburi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wokovu ni wa Yehova.+Baraka yako iko juu ya watu wako.+ Sela. Luka 1:69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 69 Naye ametuinulia pembe+ ya wokovu katika nyumba ya Daudi mtumishi wake, Tito 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wasiwe wakiiba,+ bali wawe wakionyesha uaminifu mwema kwa ukamili,+ ili walipambe fundisho la Mwokozi wetu,+ Mungu, katika mambo yote. Yuda 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 kwake Mungu pekee aliye Mwokozi wetu+ kupitia Yesu Kristo+ Bwana wetu, na kuwe utukufu,+ ukuu, nguvu+ na mamlaka+ kwa umilele wote uliopita+ na sasa na mpaka umilele wote.+ Amina.+
10 wasiwe wakiiba,+ bali wawe wakionyesha uaminifu mwema kwa ukamili,+ ili walipambe fundisho la Mwokozi wetu,+ Mungu, katika mambo yote.
25 kwake Mungu pekee aliye Mwokozi wetu+ kupitia Yesu Kristo+ Bwana wetu, na kuwe utukufu,+ ukuu, nguvu+ na mamlaka+ kwa umilele wote uliopita+ na sasa na mpaka umilele wote.+ Amina.+